Serikali ya Mapinduzi Zanzibar itafanikishe miradi iliyoidhamiria kwa Maendeleo ya wananchi wake.

SERIKALI ya Mapinduzi ya Zanzibar imesema inajitahidi kupambana maeneotofauti ili ifanikishe miradi yake iliyoidhamiria kuifanikisha kwaajili yakuendelea kuwaletea Maendeleo wananchi wake.Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Hussein Ali Mwinyiameyasema hayo Ikulu, Zanzibar alipozungumza na Mwakilishi Mkaazi wa Shirikala Maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP) nchini Tanzania, Bi. Christine Musisialiefika kumtembelea.Dk. Mwinyi alisema